Kocha wa Simba, Mfaransa Pierre Lechantre akifuatilia mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya Stand United ya Shinyanga juzi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambao ulimalizika kwa sare ya 3-3
Pierre Lechantre aliyejiunga na Simba SC mwezi uliopita hakufurahishwa na uchezaji wa timu yake juzi
Pierre Lechantre aliyechukua nafasi ya Mcmeroon, Joseph Marius Omog alilazimika kusimama kuzungumza na wachezaji wake
Huo ulikuwa mchezo wa mwisho kabla ya Simba kumenyana na El Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika
Michael Penix Jr. to Visit Raiders, Broncos, More Before NFL Draft amid
Giants Rumors
-
Washington quarterback Michael Penix Jr. will reportedly meet with a
handful of NFL teams following his pro day on Thursday. Per ESPN's Brady
Henderson, Pe...
57 minutes ago
0 comments:
Post a Comment