Mshambuliaji wa Simba SC, Emmanuel Okwi akiburuza begi lake leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam wakati wa safari ya Cairo nchini Misri kwa ajili ya mchezo wa marudiano Raundi ya Kwanza Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya wenyeji, Al Masry Jumamosi
Mshambuliaji Mganda, Nicholaus Gyan akiwaongoza wenzake safarini leo
Nahodha John Bocco akielekea eneo kuingia JNIA baada ya kuteremka kwenye basi la simu
How a hidden detail about the Tasmanian Devils' divisive new jersey will
shock footy fans
-
There is good news for Tasmanian Devils supporters who were critical of the
launch of the new AFL club's first guernsey this week.
51 minutes ago
0 comments:
Post a Comment