David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City mabao yote dakika za 10 na 50 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Stoke City kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Bet365. Man City inafikisha pointi 81 baada ya kuceza mechi 30, ikifuatiwa kwa mbali kabisa na Manchester United yenye pointi 65 za mechi 30, maana yake timu ya kocha Pep Guardiola inahitahji kushinda mechi mbili zaidi kujihakikishia ubingwa wa England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Howie Schwab dead at 63: Dick Vitale announces passing of the star of hit
trivia show 'Stump the Schwab' and longtime ESPN personality after 'various
health issues'
-
Longtime ESPN personality Howie Schwab has died of 'various health issues,'
according to friend Dick Vitale.
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment