Naby Keita (kulia) akiifungia bao la kwanza RB Leipzig dakika ya 37 ikitoka nyuma na kushinda 2-1 dhidi ya Bayern Munich usiku wa jana Uwanja wa Red Bull Arena mjini Leipzig kwenye mchezo wa Bundesliga, huo ukiwa ushindi wao wa kwanza kihistoria dhidi ya vigogo hao wa Ujerumani. Sandro Wagner alianza kuwafungia Bayern Munich dakika ya 12 na bao la ushindi la Leipzig lilifungwa na Timo Werner aliyetokea benchi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment