Mshambuliaji majeruhi wa Paris Saint Germain, Neymar ameposti picha hii kufuatia kifo cha mwanasayansi Stephen Hawking aliyefariki dunia jana akiwa ana umri wa miaka 76 baada ya kutembelea kiti cha walemavu tangu akiwa ana umri wa miaka 22 kama salamu zake za rambirambi, lakini Mbrazil huyo amelaumiwa vikali kwa kujinafanisha na Muingereza huyo aliyepitia kipindi kigumu cha maisha yake, wakati yeye ni majeruhi wa muda mfupi tu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jordan Montgomery's Top FA Landing Spots After Blake Snell's Contract with
Giants
-
Reigning National League Cy Young winner Blake Snell finally agreed to a
reported two-year, $62 million contract with the San Francisco Giants on
Monday,…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment