Mshambuliaji majeruhi Mbrazil, Neymar akifanya mazoezi gym chini ya usimamizi wa Daktari wake binafsi. Neymar yuko nje kwa miezi mitatu kufuatia kufanyiwa upasuaji wa kifundo cha mguu baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Marseille mwezi uliopita na sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anapambana ili acheze Fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi, Brazil ikifungua dimba na Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Fans Troll Warriors for Fall Behind Lakers in Playoff Standings with
Knicks Loss
-
NBA fans on X had fun at the Golden State Warriors' expense Monday night,
as a 119-112 home loss to the New York Knicks dropped them back down to the
No. 10…
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment