Mshambuliaji majeruhi Mbrazil, Neymar akifanya mazoezi gym chini ya usimamizi wa Daktari wake binafsi. Neymar yuko nje kwa miezi mitatu kufuatia kufanyiwa upasuaji wa kifundo cha mguu baada ya kuumia kwenye mechi dhidi ya Marseille mwezi uliopita na sasa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 26 anapambana ili acheze Fainali za Kombe la Dunia nchini Urusi, Brazil ikifungua dimba na Uswisi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou praises 'brave' Richarlison for opening up on his mental
health struggles - and believes the Tottenham forward's emotional interview
can be a 'conduit for others to reach out for help'
-
The Brazilian, who joined Spurs from Everton in 2022 for £60million,
revealed in a tearful interview earlier this week that he had suffered from
depression...
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment