Kiungo mshambuliaji wa Difaa Hassan El Jadida, Mtanzania Simon Msuva (kushoto) akiwa na mmoja wa Maofisa wa timu hiyo jana wakati wa safari ya kwenda Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya mchezo wa marudiano na wenyeji, AS Vita hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika utakaofanyika Jumapili
Hapa Simon Msuva akiwa na Afisa na mchezaji mwenzake pia
Hapa Simon Msuva akiwa na kikosi kizima cha Difaa Hassan El Jadida wakati wa safari hiyo
Safari hiyo ilifuatia mazoezi mazuri ya mwisho juzi, Difaa Hassan Jadida ikihitaji kwenda kuulinda ushindi wake mwembamba wa 1-0 nyumbani wiki iliyopita, bao pekee la Simon Msuva (wa pili kushoto)
Hapa ni baada ya mazoezi ya juzi mjini Jadida
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment