Kiungo mshambuliaji wa Difaa Hassan El Jadida, Mtanzania Simon Msuva (kushoto) akiwa na mmoja wa Maofisa wa timu hiyo jana wakati wa safari ya kwenda Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa ajili ya mchezo wa marudiano na wenyeji, AS Vita hatua ya 32 Bora Ligi ya Mabingwa Afrika utakaofanyika Jumapili
Hapa Simon Msuva akiwa na Afisa na mchezaji mwenzake pia
Hapa Simon Msuva akiwa na kikosi kizima cha Difaa Hassan El Jadida wakati wa safari hiyo
Safari hiyo ilifuatia mazoezi mazuri ya mwisho juzi, Difaa Hassan Jadida ikihitaji kwenda kuulinda ushindi wake mwembamba wa 1-0 nyumbani wiki iliyopita, bao pekee la Simon Msuva (wa pili kushoto)
Hapa ni baada ya mazoezi ya juzi mjini Jadida
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment