Lionel Messi akishangilia na Ousmane Dembele baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Barcelona dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa Jumatano Uwanja wa Camp Nou. Messi alifunga mabao mawili dakika za tatu na 63 na alimsetia pia Dembele kufunga lingine dakika ya 20 na sasa Barca inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 4-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
V8 Supercars star James Courtney opens up about almost burning to death at
the Australian Grand Prix
-
Supercars star James Courtney has spoken about his lucky escape from death
when his car was engulfed by a fireball at Albert Park last year.
28 minutes ago
0 comments:
Post a Comment