Kipa David De Gea akiwa mnyonge baada ya kufungwa bao la pili na Wissam Ben Yedder wa Sevilla usiku wa Jumanne, Manchester United wakichapwa 2-1 katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya na kutolewa baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Hispania. Ben Yadder alifunga dakika za 74 na 78, wakati bao la United lilifungwa na Romelu Lukakiu dakika ya 84 Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment