Winga wa Manchester City, Leroy Sane akimtoka mchezaji wa FC Basle, Fabian Frei katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Etihad. Basle ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Mohamed Elyounoussi dakika ya 17 na Michael Lang dakika ya 71, baada ya Gabriel Jesus kutangulia kuifungia Man City dakika ya nane ambayo inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-2, kufuatia awali kushinda 4-0 Basle PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coaches Shade Brock Bowers: 'Less Explosive' and 'an Expensive Luxury
Item'
-
Georgia tight end Brock Bowers was almost a cheat code in college, but fans
might have to reset their expectations for the 6'3" pass-catcher. The
Athletic's…
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment