Mshambuliaji wa kimataifa wa England, Harry Kane akitembelea fimbo maalum za walemavu baada ya kuumia kifundo cha mguu wa kulia, maumivu ambayo yatamuweka nje kwa wiki sita. Kane aliumia Jumapili ya wiki iliyopita baada ya kugongana na kipa Asmir Begovic katika mchezo wa Ligi Kuu ya England, Spurs wakishinda 4-1 dhidi ya Bournemouth
Watch Shohei Ohtani get introduced as a Dodger for the first time by Brian
Cranston at Dodger Stadium on Opening Day amid a betting scandal and the
firing of his former interpreter Ippei Mizuhara
-
Los Angeles Dodgers star Shohei Ohtani tried to put on a happy face as he
was introduced as a member of his new team for the first time amid chaos
off the ...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment