• HABARI MPYA

    Thursday, March 15, 2018

    GUARDIOLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MMILIKI WA MAN CITY

    Kocha Mspaniola Pep Guardiola akizungumza na mmiliki wa Manchester City, Sheikh Mansour bin Zayed (katikati) na Mwenyekiti, Khaldoon Al Mubarak (kulia) jana mchana wakati wa ziara fupi ya timu hiyo Abu Dhabi wanapoishi mwenye timu hiyo ya Ligi Kuu ya England PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GUARDIOLA AFANYA MAZUNGUMZO NA MMILIKI WA MAN CITY Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top