Mshambuliaji Edin Dzeko akimpiga tobo kipa wa Shakhtar Donetsk, Andriy Pyatov kuifungia bao pekee Roma dakika ya 52 ikishinda 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Roma na kufanya sare ya jumla ya 2-2 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Uturuki. Roma inakwenda Robo Fainali kwa faida ya mabao ya ugenini, ikiungana na Juventus, Real Madrid na Sevilla zilizozitoa PSG, Tottenham na Manchetser United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Three transfer windows. 43 players signed. £300million blown. How
Nottingham Forest lost the plot
-
IAN HERBERT: No fewer than 43 players have arrived for close to £300m
across three transfer windows and Monday there were consequences - a
four-point deduc...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment