Mshambuliaji Edin Dzeko akimpiga tobo kipa wa Shakhtar Donetsk, Andriy Pyatov kuifungia bao pekee Roma dakika ya 52 ikishinda 1-0 katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Olimpiki mjini Roma na kufanya sare ya jumla ya 2-2 baada ya kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Uturuki. Roma inakwenda Robo Fainali kwa faida ya mabao ya ugenini, ikiungana na Juventus, Real Madrid na Sevilla zilizozitoa PSG, Tottenham na Manchetser United PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Louis Rees-Zammit is set to sign for Super Bowl champions Kansas City
Chiefs on a £700,000 training deal - with ex-Wales wing looking to be a
permanent team-mate of Patrick Mahomes and Travis Kelce
-
Louis Rees-Zammit is set for a stunning move to Super Bowl champions Kansas
City Chiefs as the former Wales star inches closer to his NFL dream.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment