Mshambuliaji Michy Batshuayi anayecheza kwa mkoppo kutoka Chelsea akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Borussia Dortmund dakika za 77 na 90 na ushei ikiichapa 3-2 Frankfurt Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund Uwanja wa Signal-Iduna Park mjni Dortmund katika mchezo wa Bundesliga. Bao la lingine la Borussia Dortmund limefungwa na Marco Russ aliyejifunga dakika ya 11, wakati mabao ya Frankfurt yamefungwa na na Danny Blum dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cowboys Trolled by NFL Fans for CeeDee Lamb Contract Talks as St. Brown
Resets Market
-
The Detroit Lions made Amon-Ra St. Brown the highest-paid wide receiver in
the NFL with a massive contract extension on Wednesday, and that deal is
likely to…
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment