• HABARI MPYA

    Monday, March 12, 2018

    BATSHUAYI APIGA MBILI BORUSSIA DORTMUND YASHINDA 3-2

    Mshambuliaji Michy Batshuayi anayecheza kwa mkoppo kutoka Chelsea akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Borussia Dortmund dakika za 77 na 90 na ushei ikiichapa 3-2 Frankfurt Uwanja wa Signal-Iduna-Park mjini Dortmund Uwanja wa Signal-Iduna Park mjni Dortmund katika mchezo wa Bundesliga. Bao la lingine la Borussia Dortmund limefungwa na Marco Russ aliyejifunga dakika ya 11, wakati mabao ya Frankfurt yamefungwa na   na Danny Blum dakika ya 90 na ushei  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: BATSHUAYI APIGA MBILI BORUSSIA DORTMUND YASHINDA 3-2 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top