Mshambuliaji wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akiruka sarakasi kushangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 59 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Watford leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Emirates mjini London, mabao mengine yakifungwa na Shkodran Mustafi dakika ya nane na Henrikh Mkhitaryan dakika ya 77 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Olivier Giroud completes free summer transfer to LAFC from AC Milan ahead
of Euro 2024
-
According to transfer guru Fabrizio Romano, Giroud signed a contract to
join the LA-based MLS team on Tuesday, just a month after verbally agreeing
to join...
16 minutes ago
0 comments:
Post a Comment