Danny Welbeck (kulia) akishangilia na Aaron Ramsey (kushoto) baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za39 kwa penalti na 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 71 na la Milan lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 35. Arsenal inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Rasmus Hojlund admits he was 'bothered' by criticism during Man United goal
drought in the Premier League... and claims it was 'great to shut people
up' as he accuses critics of jealousy
-
The Dane went 14 games without a Premier League goal after joining from
Atalanta for £72million, despite scoring five goals in the Champions League
group s...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment