Danny Welbeck (kulia) akishangilia na Aaron Ramsey (kushoto) baada ya kuifungia Arsenal mabao mawili dakika za39 kwa penalti na 86 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya AC Milan kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Europa League usiku wa Alhamisi Uwanja wa Emirates, London. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Granit Xhaka dakika ya 71 na la Milan lilifungwa na Hakan Calhanoglu dakika ya 35. Arsenal inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya kushinda 2-0 kwenye mchezo wa kwanza Milan PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Top lawyer reveals the loophole that will save footy star Braydon Trindall
from getting in trouble for failing a drug test after partying with
teammates
-
The 24-year-old Cronulla star was pulled over at 9.45am on Monday in the
southern Sydney suburb of Caringbah. He has been stood down from training
and play...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment