Mshambuliaji wa kimataifa wa Burkina Faso, Aristide Bance (kushoto) akiwa mazoezini na mchezaji mwenzake wa klabu ya Al Masry ya Misri jana Uwanja wa Gymkhana mjini Dar es Salaam kujiandaa na mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba SC Jumatano
Al Masry walifanya mazoezi ufukweni mwa Bahari ya Hindi jana
Wachezaji wake walionekana ni wenye kujiamini pamoja na kuwa ugenini
Kocha wa Al Masry, Hossam Hassan (wa pili kulia) akijadiliana na wasaidizi wake
Wachezaji wa Al Masry wakati wanavaa kuingia mazoezini
Tangu wamefika nchini wanatumia basi la klabu ya Azam FC
Gary Neville dismisses three big name managers linked with the Manchester
United job and says he'd rather KEEP Erik ten Hag then hand the reins over
to 'someone who isn't a good fit' for the club
-
Gary Neville has shutdown three potential managers linked with the
Manchester United job should Erik ten Hag get sacked from the role.
45 minutes ago
0 comments:
Post a Comment