Beki wa Yanga, Gardiel Michael akipasua katikati ya mabeki wa Njombe Mji FC katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. Yanga ilishinda 4-0
Kiungo wa Yanga, Pius Buswita akimtoka mchezaji wa Njombe Mji FC
Mshambuliaji wa Yanga, Mzambia Obrey Chirwa aliyefunga mabao matatu jana akipambana na wachezaji wa Njombe Mji FC
Kiungo wa Yanga, Raphael Daudi akiugeukia mpira dhidi ya wachezaji wa Njombe Mji FC
Mfungaji wa bao lingine la Yanga, Emmanuel Martin akimtia tobo Ditram Nchimbi wa Njombe Mji
Obrey Chirwa akipiga kichwa katikati ya wachezaji wa Njombe Mji FC
Kiungo Juma Mahadhi akimpira mchezaji wa Njombe Mji FC
Kiungo Mkongo wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi akiwa juu kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Njombe Mji FC
Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Obrey Chirwa baada ya kukamilisha hat trick yake jana
Mashabiki wa Yanga wakifurahia jana Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam |
0 comments:
Post a Comment