Mshambuliaji Robin van Persie akishangilia baada ya kuifungia bao la tatu Feyenoord dakika ya 78 kufuatia kutokea benchi kipindi cha pili kuchukua nafasi ya Jens Toornstra timu hiyo ikiibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Groningen kwenye mchezo wa Ligi Kuu Uholanzi, maarufu kama Eredivisie usiku wa jana Uwanja wa Feyenoord mjini Rotterdam. Mabao mengine ya Feyenoord yalifungwa na Jens Toornstra dakika ya 53 na Jerry St Juste dakika ya 72 na ikumbukwe, Van Persei mwenye umri wa miaka 34 sasa amerejea Januari timu hiyo iliyomuibua kisoka kabla ya kumuuza Arsenal mwaka 2004 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Seahawks' Sam Howell Says He's 'Got to Be Smarter' with INTs After
Commanders Trade
-
Seattle Seahawks quarterback Sam Howell said he has "got to be smarter"
after throwing a NFL-high 21 interceptions for the Washington Commanders
last season.…
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment