Mkongwe Arjen Robben akipongezwa na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 86 na 88 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Paderborn kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ujerumani jana Uwanja wa Benteler-Arena mjini Paderborn. Mabao mengine ya timu ya kocha Jupp Heyckes yalifungwa na Kingsley Coman dakika ya 19, Robert Lewandowski dakika ya 25, Joshua Kimmich dakika ya 42 na Corentin Tolisso dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ben White's agent hits back at Arsenal star's critics and says 'no-one
knows what's going on in his life' - after reposting a critique of Harry
Redknapp's 'slam the door' comments on his England exile
-
Ben White's agent has hit back at critics of the Arsenal star and says
'no-one knows what's going on in his life'. His spiky response comes after
criticism...
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment