Kipa wa Levante, Oier akiokoa mpira miguuni mwa mshambuliaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo katika mchezo wa La Liga usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia timu hizo zikitoka sare ya 2-2. Mabao ya Real Madrid yalifungwa na Nahodha Sergio Ramos dakika ya 11 na Isco dakika ya 81 wakati ya Levante yalifungwa na Emmanuel Boateng dakika ya 42 na Giampaolo Pazzini dakika ya 89 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Coaches Shade Brock Bowers: 'Less Explosive' and 'an Expensive Luxury
Item'
-
Georgia tight end Brock Bowers was almost a cheat code in college, but fans
might have to reset their expectations for the 6'3" pass-catcher. The
Athletic's…
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment