Mshambuliaji Sergio Aguero akishangilia na mchezaji mwenzake, Leroy Sane baada ya kuifungia Manchester City bao la kwanza dakika ya 19 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Arsenal kwenye fainali ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup leo Uwanja wa Wembley. Bao la pili limefungwa na beki Vincent Kompany dakika ya 58 na la tatu kiungo, David Silva dakika 65, Pep Guardiola akitwaa taji la kwanza England PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Tevez, 40, rushed to hospital in Buenos Aires after suffering chest
pains... with the ex-Man United and Man City forward kept in overnight
-
The 40-year-old, one of only 14 footballers to play for both Manchester
United and Manchester City, spent the night at a clinic in the
neighbourhood of San...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment