• HABARI MPYA

    Sunday, February 18, 2018

    GROVES AMCHAPA CHRIS EUBANK JR NA KUTETEA UBINGWA WA DUNIA

    Ngumi ya George Groves ikiwa imewasili kwenye uso wa mpinzani wake, Chris Eubank Jr wakati wa pambano la fainali ya World Boxing Super Series usiku wa kuamkia leo ukumbi wa Manchester Arena. Groves alishinda kwa uamuzi wa majaji wote, pointi 117-112, 116-112 na 115-113 na kutetea ubingwa wake wa dunia wa WBA baada ya raundi 12 kali  PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: GROVES AMCHAPA CHRIS EUBANK JR NA KUTETEA UBINGWA WA DUNIA Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top