Michy Batshuayi akishangilia baada ya kuifungia timu yake mpya, Borussia Dortmund mabao mawili na kuseti moja ikishinda ugenini 3-2 dhidi ya wenyeji, FC Cologne Uwanja wa RheinEnergie. Batshuayi, mshambuliaji wa KIbelgiji aliyesajiliwa wiki hii kwa mkopo kutoka Chelsea, alifunga dakika ya 35 na 62, wakati bao lingine la Dortmund limefungwa na André Schürrle dakika ya 84 na mabao ya wenyeji, FC Cologne yalifungwa na Simon Zoller dakika ya 60 na Jorge Meré dakika ya 69 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tyson Fury could still pull out of the Oleksandr Usyk fight claims George
Groves as vents about the WBC not penalising the Gypsy King
-
George Groves believes Tyson Fury could still pull out of the undisputed
title fight with Oleksandr Usyk and claims the WBC will do nothing about it.
7 minutes ago
0 comments:
Post a Comment