Mshambuliaji wa Azam FC, Shaaban Iddi Chilundea akipiga mpira dhidi ya kipa wa Ndanda FC, katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara jana Uwanja wa Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-1
Mshambuliaji chipukizi wa Azam FC, Paul Peter (kulia) akimtoka beki wa Ndanda FC
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Iddi kipagwile akipita katikati ya wachezaji wa Ndanda FC
Winga Mghana wa Azam FC, Enock Atta-Agyei akimtoka beki wa Ndanda, Job Ibrahim
Mshambuliaji wa Azam FC, Yahya Zayed akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Ndanda
Beki Mzimbabwe wa Azam FC, Bruce Kangwa akimpita mchezaji wa Ndanda jana
BVB bindet Eigengewächs Kjell Wätjen langfristig
-
Kjell Wätjen (18) hat am Mittwoch seinen ersten Profivertrag
unterschrieben. Der BVB bindet sein Top-Talent damit vorzeitig bis zum 30.
Juni 2028. Bereits ...
OMTO WAJA NA MAKUBWA 2024
-
Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts
Organization (OMTO), Anna Haule akizungumza wakati mkutano wa kwanza wa
mwak...
Reports: Jack Wilshere set for Arsenal return
-
Former Arsenal midfielder Jack Wilshere has held talks with the north
London side on one of its vacant academy coaching roles. Under 23 manager
Per Mertes...
YANGA ‘KUPAA’ JUMANNE KUIFUATA MWADUI FC
-
MARA baada ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Namungo Fc kwenye uwanja wa
Majaliwa, Lindi, siku ya jumapili, Kikosi cha Young Africans Sports Club,
kitareje...
0 comments:
Post a Comment