Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kufunga bao la nne dakika ya 37 na la kwanza kwake baada ya kujiunga na Arsenal wiki hii akitokea Borussia Dortmund kwa Pauni Milioni 56 za rekodi katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Everton Uwanja wa Emirates. Mabao mengine ya Arsenal yamefungwa na Aaron Ramsey matatu dakika za sita,19 na 74 na Laurent Koscielny dakika ya 37, wakati la Everton limefungwa na Dominic Calvert-Lewin dakika ya 64 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Alphonso Davies 'is nearing a summer move to Real Madrid amid contract
standoff with Bayern Munich'... as the player's agent slams the club's
negotiating tactics after 'attacks' on the player
-
Alphonso Davies has been issued with a contract ultimatum by Bayern Munich,
with the player's representative hitting out at the club for their 'unfair'
neg...
24 minutes ago
0 comments:
Post a Comment