Makamu Mwenyekiti wa Azam FC, Abdulkarim Amin 'Popat' (kulia) akiwa na viongozi wengine wa timu jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar wakati wa mchezo wa Kundi A Kombe la Mapinduzi dhidi ya Simba SC. Azam ilishinda 1-0
Kulia ni Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Simba, Hajji Sunday Manara akisalimiana na Rais wa heshima wa Azam FC, Jamal Bakhresa 'Bui'
Hapa Popat akiwa na mashabiki wa Azam FC wakati wanarejea Dares Salaam leo kutoka Zanzibar
Impressive Everton win to hit Liverpool title hopes
-
Everton take a giant step towards safety and deliver a huge blow to
Liverpool's title aspirations with a thoroughly deserved victory.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment