Nyota Mbrazil, Neymar Junior akiweka kiatu chake kichwani kushangilia bao la kwanza aliloifungia Paris Saint-Germain dakika ya 53 kwa penalti katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Amiens SC kwenye mchezo wa hatua ya 16 Bora Kombe la Ligi Ufaransa usiku wa jana Uwanja wa Licorne, Amiens. Bao la pili la PSG lilifungwa na Adrien Rabiot dakika ya 78 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
John Terry reveals Rio Ferdinand has blanked him on the beach in Dubai in a
bitter 14-year-long spat over claims the ex-Chelsea captain racially abused
his old team-mate's brother Anton
-
The allegation was made by Anton following a game between Chelsea and QPR
at Loftus Road in 2011. Terry has always denied abusing the ex-QPR centre
back, a...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment