Raheem Sterling akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Manchester City sekunde ya 40 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Watford usiku wa jana kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Etihad. Mabao mengine ya Man City yamefungwa na Christian Kabasele aliyejifunga dakika ya 13 na Sergio Aguero dakika ya 63, wakati la Watford alifunga Andre Gray dakika ya 82 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jackson Topine: Footy star 'has a secret weapon' in $4million lawsuit
against his club for allegedly making 35 of his teammates assault him until
he couldn't stand
-
News of the bombshell legal action sent shockwaves through the NRL on
Wednesday - and now the man at the centre of the storm, Jackson Topine,
reportedly ha...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment