Lionel Messi akipiga penalti ambayo alikosa dakika ya 62 Barcelona ikichapwa 1-0 na jirani zao, Espanyol bao pekee la Oscar Melendo dakika ya 88 katika robo fainali ya kwanza ya Kombe la Mfalme maarufu kama Copa del Rey usiku wa Jumatano Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ten Hag ready for second FA Cup semi-final
-
Erik looks forward to another Wembley outing for his United team as we
prepare to take on Coventry City this Sunday.
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment