Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 13 na 15 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Celta Vigo kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 bora Kombe la Mfalme, maarufu kama Copa del Rey usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mebgine ya Barcelona yamefungwa na Jordi Alba dakika ya 28, Luis Suarez dakika ya 31 na Ivan Rakitic dakika ya 87 na sasa timu ya kocha Ernesto Valverde inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 6-1 baada ya sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza ugenini PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'These English pundits are clueless!' Micah Richards mocked as he gets his
Champions League predictions totally WRONG after Man City suffer penalty
heartbreak against Real Madrid and Arsenal crash out against Bayer Munich
-
Predicting the outcome of the Champions League quarter-finals can be a
fool's errand, as Michael Richards found out the hard way.
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment