Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 90 na ushei ikiilaza 2-1 Bristol City katika Nusu Fainali ya kwanza ya Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup usiku wa Jumanne Uwanja wa Etihad. Timu hizo zitarudiana Januari 23 Ashton Gate mjini Bristol. Bristol walitangulia kwa bao la mkwaju wa penalti la Bobby Reid dakika ya 44 baada ya yeye mwenyewe kuangushwa na John Stones, kabla ya Kevin De Bruyne kuisawazishia City dakika ya 55 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Mike Tyson brawls TOPLESS in the street with Shannon 'The Cannon' Briggs as
fans look on, before sharing a laugh together during a Brooklyn reunion
-
Mike Tyson brawled topless with Shannon 'The Cannon' Briggs after a street
reunion in Brooklyn - as the pair were surrounded by fans.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment