Romelu Lukaku akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la pili dakika ya 90 ikiichapa 2-0 Derby Count katika mchezo wa Kombe la FA England usiku wa Ijumaa Uwanja wa Old Trafford na kutinga Raundi ya Nne. Bao la kwanza la United limefungwa na Jesse Lingard (kulia) dakika ya 84 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Draft 2024: Round 1 Grades for Every Pick
-
The excitement for the 2024 NFL draft is palpable. It's not just fans,
whose hope for every draft pick knows no bounds. Even those within the
league are…
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment