Harry Kane akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Tottenham Hotspur dakika za 63 na 65 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Wimbledon kwenye mchezo wa Raundi ya Tatu ya Kombe la FA England leo Uwanja wa Wembley. Bao lingine la Spurs inayosonga mbele Raundi ya nne limefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 71 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: Steelers' Russell Wilson Takes Batting Practice Ahead of Pirates 1st
Pitch
-
The Pittsburgh Pirates have an unexpected new addition to their roster.
Steelers quarterback Russell Wilson took batting practice at PNC Park
before throwing…
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment