Nyota Mnigeria, Kelechi Iheanacho (kulia) akishangilia baada ya kuifungia mabao yote mawili Leicester City dakika za 43 na 77 ikishinda 2-0 dhidi ya Fleetwood ya Daraja la Kwanza katika mchezo wa Kombe la FA jana Uwanja wa King Power, Leicester. Hata hivyo, kwa bao la pili ilibidi kwanza refa Jon Moss athibitishiwe kupitia teknolojia ya picha za video (VAR) kwamba Iheanacho hakuwa ameotea baada ya awali kukataliwa akidhaniwa alikuwa ameotea. Iheanacho anaweka rekodi ya kuwa mchezaji wa kwanza England bao lake kuhalalishwa na mfumo wa VAR baada ya awali kukataliwa kwa kudhaniwa ameotea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Video: JJ Redick Reveals Why Victor Wembanyama Refused to Go on Stage at
Drake Show
-
On the court, San Antonio Spurs big man Victor Wembanyama somehow crushed
his massive preseason hype by averaging 21.4 points, 10.6 rebounds and an
NBA-high…
17 minutes ago
0 comments:
Post a Comment