Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete (katikati) akisalimiana na mwanamuziki nguli nchini, Nguza Viking (kushoto) leo Ikulu mjini Dar es Salaam. Kulia ni mtoto wa Nguza, Papii Kocha. Familia ya Nguza imefika Ikulu leo kumshukuru Rais Magufuli kwa kuwapa msamaha wa kifungo cha maisha jela Desemba 9, mwaka jana
Nguza Viking na wanawe wakifurahi leo Ikulu mjini Dar es Salaam
Papii Kocha akionyesha tattoo ya JPM (John Pombe Magufuli) aliyochora
Rais Magufuli katika picha ya pamoja na familia ya Nguza
Hapa ni wakati Nguza Viking na wanawe wanaingia Ikulu mjini Dar es Salaam
Hapa ni wakati wa mazungumzo yao Ikulu leo
Kevin De Bruyne is 'better than Gerrard, Lampard, Silva and Toure' and is
No 1 midfielder in Premier League history, claims Jamie Redknapp after
Belgian's ridiculous header from 15 yards
-
Sky Sports pundit Jamie Redknapp believes Kevin De Bruyne's ability to
produce things that are 'out of this world' elevates him to be the best
midfielder i...
42 minutes ago
0 comments:
Post a Comment