Mchezaji mpya wa Barcelona, Philippe Coutinho aliyesajiliwa kwa Pauni Milioni 145 akitambulishwa usiku wa jana akiwa amevaa jaketi la timu hiyo Katalunya Uwanja wa Camp Nou. Lakini utambulisho rasmi wa mchezaji huyo kwenye kwenye kikosi cha Ernesto Valverde unatarajiwa kufanyika leo PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cesc Fabregas speaks out on Chelsea's penalty fiasco as he warns arguments
over who takes spot-kicks can cause 'bad vibes' in the dressing room - and
recalls being at the centre of a similar row
-
Cesc Fabregas has given his verdict on Chelsea's penalty chaos against
Everton on Monday that saw Noni Madueke and Nicolas Jackson argue over who
would tak...
21 minutes ago
0 comments:
Post a Comment