• HABARI MPYA

    Sunday, January 07, 2018

    CHELSEA YAKWAA KISIKI KOMBE LA FA, SARE 0-0 NA NORWICH

    Kiungo Mbrazil wa Chelsea, Willian akimtoka beki wa Norwich City, Timm Klose katika mchezo wa Raundi ya Tatu Kombe la FA England jana Uwanja wa Carrow Road mjini Norwich, Norfolk timu hizo zikitoka sare ya 0-0 na sasa zitarudiana kutafuta timu ya kwenda Raundi ya Nne ya michuano hiyo PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: CHELSEA YAKWAA KISIKI KOMBE LA FA, SARE 0-0 NA NORWICH Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top