Nyota wa Real Madrid, Gareth Bale (kulia) akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya 35 kwa penalti baada ya Carlos Gonzalez kumuangusha Lucas Vasquez kwenye boksi katika ushindi wa 3-0 dhidi ya wenyeji, Numancia kwenye mechi ya kwanza ya hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania iliyofanyika jana Uwanja wa Nuevo Estadio Los Pajaritos mjini Soria. Mabao mengine ya Real Madrid yalifunga na Isco kwa penalti dakika ya 89 baada ya Pape Diamanka kumchezea rafu Nacho na kutolewa kwa kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi ya pili ya njano na Borja Mayoral dakika ya 90 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NFL Rumors: Raiders 'Really Do Like' Michael Penix Jr., Could Draft QB with
13th Pick
-
The hype for Michael Penix Jr. coming off the board in the top half of the
first round of the 2024 NFL draft continues to grow. Per ESPN's Matt
Miller, one…
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment