• HABARI MPYA

    Sunday, January 07, 2018

    AZAMFC NA SIMBA KATIKA PICHA JANA ZANZIBAR

    Mfungaji wa bao pekee la Azam FC katika ushindi wa 1-0 jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar, Iddi Kipwagile akimtoma mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan huku mbele yake kuna beki Mganda, Juuko Murshid
    Mshambuliaji Mghana wa Azam FC, Bernard Arthur akijivuta kupiga mpira jana
    Chpukizi wa Azam FC, Yahya Zayed akiwatoka wachezaji wa Simba jana
    Wachezaji wa Azam FC wakifurahia ushindi wao uliowapa tiketi ya Nusu Fainali
    Nahodha wa Azam FC, Himid Mao akimpongeza kipa Mghana, Razack Abalora kwa udakaji mzuri 
    Manahodha; Himid Mao wa Azam FC (kulia) na John Bocco wa Simba (kushoto) wakisalimiana kabla ya mechi 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: AZAMFC NA SIMBA KATIKA PICHA JANA ZANZIBAR Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top