Mfungaji wa bao pekee la Azam FC katika ushindi wa 1-0 jana Uwanja wa Amaan, Zanzibar, Iddi Kipwagile akimtoma mshambuliaji Mghana wa Simba, Nicholaus Gyan huku mbele yake kuna beki Mganda, Juuko Murshid
Mshambuliaji Mghana wa Azam FC, Bernard Arthur akijivuta kupiga mpira jana
Chpukizi wa Azam FC, Yahya Zayed akiwatoka wachezaji wa Simba jana
Wachezaji wa Azam FC wakifurahia ushindi wao uliowapa tiketi ya Nusu Fainali
Nahodha wa Azam FC, Himid Mao akimpongeza kipa Mghana, Razack Abalora kwa udakaji mzuri
Manahodha; Himid Mao wa Azam FC (kulia) na John Bocco wa Simba (kushoto) wakisalimiana kabla ya mechi
Sue Bird joins Seattle Storm ownership group after starring for WNBA team
for 21 years
-
Storm owners, Force 10 Hoops, said that the 43-year-old, 13-time All-Star
joined the ownership group despite no financial details about the
transaction bei...
52 minutes ago
0 comments:
Post a Comment