Wachezaji wa timu ya soka ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars wakiwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam leo asubuhi kutokea Kenya ambako walikwenda kushiriki michuano ya CECAFA Challenge. Bara ilifungwa mechi zote 2-1 mara mbili na Zanzibar na Rwanda na 1-0 na Kenya baada ya kutoa sare ya 0-0 na Libya kwenye mechi ya kwanza, ambayo wapinzani wao kutoka Kaskazini mwa Afrika walinyimwa bao zuri.
Jude Bellingham's new girlfriend REVEALED: Model is 'completely smitten'
with the footballer and 'has been staying at his Spanish pad'
-
Jude Bellingham is reportedly dating a model since splitting from Asantewa
Chitty last year.
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment