Georges-Kevin Nkoudou (kulia) akipongezwa na Dele Alli baada ya Mfaransa huyo kuifungia Tottenham bao la tatu dakika ya 80 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya APOEL Nicosia ya Cyprus katika mchezo wa Kundi H Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley Jijini London. Mabao mengine yalifungwa na Fernando Llorente dakika ya 20 na Son Heung-min dakika ya 37 na Spurs inafuzu hatua ya 16 Bora kama mshindi wa Kundi H kwa kukufikisha pointi 16 ikifuatiwa na Real Madrid iliyomaliza na pointi 13 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Tributes pour in after NFL hopeful AJ Simon tragically dies aged 25... as
fellow draft prospect Jared Verse reveals he spoke to late former teammate
shortly before passing: 'Rest easy big man!'
-
More tributes honoring late NFL Draft prospect Amitral 'AJ' Simon have
poured out on social media on Thursday.
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment