Mshambuliaji Mreno, Cristiano Ronaldo akiifungia bao la kusawazisha Real Madrid dakika ya 53, kufuatia Romarinho kutangulia kuifungia Al Jazira dakika ya 41 katika mchezo wa Nusu Fainali ya Klabu Bingwa ya Dunia ya FIFA usiku wa jana Uwanja wa Sheikh Zayed Sports City mjini Abu Dhabi, Falme za Kiarabu (UAE). Gareth Bale aliifungia bao la ushindi Real Madrid dakika ya 81 huku Ronaldo akivunja rekodi ya mabao kwenye michuano hiyo kihistoria baada ya kufikisha mabao sita, sasa akiwazidi Lionel Messi, Luis Suerez wote wa Barcelona wenye mabao matano kila mmoja sawa na Cesar Delgado wa Monterrey ya Mexico PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Carlos Tevez rushed to hospital in Buenos Aires after suffering chest
pains... with the ex-Man United and Man City forward kept in overnight
-
The 40-year-old, one of only 14 footballers to play for both Manchester
United and Manchester City, spent the night at a clinic in the
neighbourhood of San...
20 minutes ago
0 comments:
Post a Comment