• HABARI MPYA

    Tuesday, December 05, 2017

    RAUNDI YA TATU FA ENGLAND; LIVERPOOL NA EVERTON

    RATIBA  ya raundi ya tatu ya Kombe la FA imetoka na gumzo kubwa ni mechi ya mahasimu wa Merseyside baina ya Liverpool na Everton.
    Arsenal watamenyana na Nottingham Forrest wakati kocha Mreno, Jose Mourinho wa Manchester United atawakaribisha Derby County Uwanja wa Old Trafford, Tottenham Hotspur na AFC Wimbledon, Manchester City na Burnley na Norwich City dhidi ya Chelsea.
    Wapinzani wa The Stanley Park watakutana Uwanja wa Anfield Jumapili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England ambao watakutana tena wikiendi ya kwanza ya Januari.
    Mara ya mwisho walipangwa katika hatua hii mwaka 1932 na Liverpool ikashinda 2-1 Uwanja wa Goodison Park.
    Hivi karibuni walikutana kwenye Nusu Fainali mwaka 2012 wakati mabao ya kipindi cha pili ya Luis Suarez na Andy Carroll yalipoipa Liverpool ushindi wa 2-1 wakitoka nyuma kwa bao 1-0 la Nikica Jelavic.

    Ratiba ya raundi ya tatu ya Kombe la FA imetoka na kubwa ni mechi ya mahasimu wa Merseyside baina ya Liverpool na Everton PICHA ZAIDI GONGA HAPA 

    RATIBA RAUNDI YA TATU KOMBE LA FA ENGLAND
    Ipswich Town v Sheffield United
    Watford v Bristol City
    Birmingham City v Burton Albion
    Liverpool v Everton
    Brighton & Hove Albion v Crystal Palace
    Aston Villa v Woking or Peterborough United
    Bournemouth v AFC Fylde or Wigan
    Coventry City v Stoke City
    Newport County v Leeds United
    Bolton Wanderers v Huddersfield Town
    Port Vale v Bradford City
    Nottingham Forest v Arsenal
    Brentford v Notts County
    Queens Park Rangers v MK Dons
    Manchester United v Derby County
    Forest Green Rovers or Exeter City v West Bromwich Albion
    Doncaster Rovers v Rochdale
    Tottenham Hotspur v AFC Wimbledon
    Middlesbrough v Sunderland
    Fleetwood or Hereford v Leicester City
    Blackburn Rovers or Crewe Alexandra v Hull City
    Cardiff City v Mansfield Town
    Manchester City v Burnley
    Shrewsbury Town v West Ham United
    Wolverhampton Wanderers v Swansea City
    Stevenage v Reading
    Newcastle United v Luton Town
    Millwall v Barnsley
    Fulham v Southampton
    Wycombe Wanderers v Preston North End
    Norwich City v Chelsea
    Gillingham or Carlisle United v Sheffield Wednesday
    Mechi zitachezwa katia ya Januari 5 na 7 mwaka 2018.
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: RAUNDI YA TATU FA ENGLAND; LIVERPOOL NA EVERTON Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top