Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) wakiwa wamebeba jeneza la mwili wa kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Dk. Joel Nkaya Bendera leo nyumbani kwake, Sinza Mori mjini Dar es Salaam kulipeleka kwenye gari tayari kwa safari ya Korogwe kwa mazishi kesho
Bendera alifariki dunia juzi katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili mjini Dar es Salaam
Waombolezaji mbalimbali wakishuhudia shughuli za kuuga mwili wa marehemu leo
Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Leodegar Tenfa akisaini kitabu cha kumbukumbu msibani. Tenga alikuwa mchezaji wa kocha Bendera kwenye kikosi cha Taifa Stars mwaka 1980 kwenye Fainali za kombe la Mataifa ya Afrika nchini Nigeria
Edmund Addo eager to shine for Black Stars amid position shift
-
Ghana midfielder Edmund Addo expressed his determination to elevate his
performance and contribute his best for the Black Stars whenever he gets
the opport...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment