Mshambuliaji chipukizi Marcus Rashford (kulia) akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la ushindi dakika ya 66 ikiilaza 2-1 CSKA Moscow usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester katika mchezo wa Kundi A Ligi ya Mabingwa Ulaya. CSKA walitangulia kwa bao la Vitinho dakika ya 45 kabla ya Romelu Lukaku kuisawazishia Man United dakika ya 64 na hivyo kukamilisha mechi za kundi hilo kileleni kwa pointi zake 15, mbele ya FC Basle yenye pointi 12 na zote zinafuzu 16 Bora PICHA ZAIDI GONGA HAPA
NBA Rumors: 76ers Didn't File Formal Protest over Officiating After G2 Loss
to Knicks
-
The Philadelphia 76ers declared their intentions to file a grievance with
the NBA over the officiating in the first two games of their first-round
playoff…
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment