Wachezaji wa Manchester City, kutoka kushoto Ederson, Yaya Toure, Bernardo Silva na Fernandinho wakitembea kinyonge baada ya kushindwa kuendeleza rekodi yao ya kutopoteza mechi tangu Aprili mwaka huu kufuatia kuchapwa mabao 2-1 jana na wenyeji, Shakhtar Donetsk kwenye mchezo wa Kundi F Ligi ya Mabingwa Ulaya Uwanja wa Oblasny Sport Komplex Metalist mjini Kharkiv. Mabao ya Shakhtar Donetsk yalifungwa na Bernard dakika ya 26 na Ismaily dakika ya 32, wakati la Man City lilifungwa na Sergio Aguero kwa penalti dakika ya 90 na ushei. Man City inafuzu kama mshindi wa Kundi F kwa pointi zake 15 ikiungana na washindi wao wa pili, Shakhtar Donetsk waliomaliza na pointi 12 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Miami Heat fans are SLAMMED by Kendrick Perkins for leaving 'too many'
empty seats for crucial play-in game against the Chicago Bulls... as they
are labelled 'not a great fanbase'
-
During ESPN's broadcast, the retired NBA center expressed his frustration
with the amount of empty seats at Kaseya Center in what could have been the
Heat'...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment