David Silva akishangilia baada ya kuifungia Manchester City bao la ushindi dakika ya 83 ikiilaza 2-1 West Ham United Jumapili Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England. West Ham walitangulia kwa bao la Angelo Ogbonna dakika ya 44, kabla ya Nicolas Otamendi kuisawazishia Man City dakika ya 57 ikishinda mechi ya 13 mfululizo msimu huu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Amon-Ra St. Brown becomes highest-paid wideout in the NFL with $120M,
four-year extension
-
The extension includes $77million guaranteed, as St. Brown, 24, will now
have to wait until 2029 to become a free agent. His salary ties him with
Hill for ...
18 minutes ago
0 comments:
Post a Comment