• HABARI MPYA

    Sunday, December 03, 2017

    MAMBO YANAVYOENDELEA KWENYE MKUTANO WA SIMBA LEO

    Wanachama wa Simba SC wakiwa ndani ya ukumbi wa Mwalimu Nyerere katikati ya Jiji la Dar es Salaam leo tayari kwa Mkutano Mkuu maalum wa klabu hiyo kupitisha mabadiliko ya uendeshwaji kuelekea kwneye kuuza hisa
    Kaimu Rais wa Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' akiwahutubia wanachama waliohudhuria mkutano huo 
    Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura akizungumza kwenye mkutano huo 
    Kaimu Rais wa Simba SC, Salim Abdallah 'Try Again' (kushoto) akiwa na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamisi Kigwangala (kulia)ambaye amemuwakilisha Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kama mgeni rasmi wa mkutano huo
    Mdau wa klabu, Mulamu Ngh'ambi akijadiliana jambo na Katibu Mkuu wa Simba SC, Dk. Arnold Kashembe na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano, Hajji Manara kabla ya kuanza kwa mkutano huo

    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: MAMBO YANAVYOENDELEA KWENYE MKUTANO WA SIMBA LEO Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top