• HABARI MPYA

    Thursday, December 14, 2017

    LUKAKU AMALIZA UKAME WA MABAO MAN UNITED IKISHINDA 1-0

    Romelu Lukaku (wa pili kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake, baada ya kuifungia Manchester United bao pekee la ushindi dakika ya 25 ikiilaza 1-0 AFC Bournemouth usiku wa jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA 
    • Blogger Comments
    • Facebook Comments

    0 comments:

    Item Reviewed: LUKAKU AMALIZA UKAME WA MABAO MAN UNITED IKISHINDA 1-0 Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry
    Scroll to Top